SOKABET NI KAMPUNI BORA YA KUBETI
Kuna fursa nyingi za kupata pesa mtandaoni na yawezekana linapofika suala la kubashiri soka huwa unajiuliza “Ni kampuni gani bora ya kubetia soka mwaka huu?”. Usijali, leo nitakuchambulia ubora wa tovuti au app ya kubetia ya sokabet Tanzania.
Hizi ni baadhi ya sifa na huduma
utakazokutana nazo ukijisajili Sokabet.
1.
Unaweza kubeti bure ukishajisajili tu. Maana utapewa
bonasi ya sh. 1000 ya bure kabisa.
2. Ukiweka
pesa kwa mara ya kwanza unapewa bonasi ya asilimia 100; yaani kama ukiweka
10,000 basi utaongezewa 10,000 nyingine endapo ukapiga simu na kuomba bonasi
hiyo.
3.
Pia unaweza kubeti
bila bando *149*35# kwa wateja wa Airtel, Tigo, Halotel na Vodacom.
4.
Pia Sokabet ni
kampuni inayorudisha hela yako (cashback) mkeka wako ukichanika pia ukiweka beti tatu unapewa moja ya bure.
5.
Kiwango cha chini
kabisa cha kubeti ni shilingi 1 ya kitanzania.
6.
Jakpoti yao ya
uhakika, ipo ya milioni 200 yenye mechi 13 na ya milioni 50 yenye mechi sita
tu. Uzuri ni kwamba sio lazima upatie mechi zote; ukipatia mechi 11 unapata bonasi
ya milioni 20, mechi 12 utapata milioni 40. Vivo hivyo kwa jackpot ya milioni
50, ukibashiri sahihi mechi 4 unapata milioni 5 na ukipatia mechi 5 basi
unaondoka na milioni 10 bila longolongo.
7.
Pia unaweza ku “cashout”
yaani endapo ukaona mechi zilizobaki zinaweza kukuchania jamvi lako basi una
uwezo wa ku – cashout na kutoa pesa yako na ukapata asilimia kadhaa ya pesa
ambayo ungeshinda. Hivyo inakuwa bora upate pungufu kuliko kupoteza yote
kabisa.
8.
Sokabet wana pointi/odds
kubwa za kubeti pamoja na kubusti odds kwenye mechi kubwa
9.
kuna multibet bonasi
hadi asilimia 700 yaani kwenye mkeka wako ukiweka timu zaidi ya moja, ukishinda
basi unaongezewa asilimia kadhaa kwenye ushindi wako. Mfano ukiweka mechi 5
basi bonasi yako ni asilimia 20 ya ushindi wako; yaani kama mechi hizo tano
zitakupa ushindi wa shilingi 40,000 utaongezewa 8000 na utapata 48,000. Hii
inapendeza sana.
10.
Kuna chimbo la kasino
ya mtandaoni la uhakika lenye michezo zaidi ya 2000.
Bila kusahau kwamba Sokabet ni kampuni nzuri ya kubeti inayolipa haraka ukishinda na unaweza wasiliana nao muda wowote (0746983630) na wakakusaidia kuelewa jinsi ya kucheza na kushinda beti. Sokabet ni app bora zaidi ya kubetia kwa kuwa unaweza kuchagua muonekano unaokufaa kama ALTENAR inayotumia bando kidogo na kufunguka hata mtandao ukiwa chini (slow). Mengi zaidi utayapata ukijisajili kwa KUBOFYA HAPA
Comments
Post a Comment