Posts

Showing posts with the label chimbo la kasino

CHIMBO LA CASINO SOKABET | JAKPOTI ZA MAMILIONI

Image
Kutoka chimbo namba moja la Casino ya mtandaoni Tanzania, lenye m ichezo zaidi ya 5,000, f urahia online casino kutoka Sokabet kwa michezo yenye Jackpot kubwa na ndogo. Michezo ya Casino kama ZEPPELIN, na SLOT za EGT ina Jackpot zinazoweza kufanya uage umaskini.  Kuna zaidi ya mamilioni kwenye PLATINUM JACKPOT ya slots za EGT na michezo mingine. Cheza michezo kama Rise of Ra Egypt Quest, Halloween Egypt Quest, Egypt Sky Egypt Quest, Circus Brilliant Egypt Quest n.k uamue ushindi wako. Ni Sokabet pekee. Bonyeza HAPA ucheze sasa. #ChimboLaCasino

WATU WANAVYOSHINDA BODABODA MPYA NA PESA JUU YAKE KUTOKA SOKABET

Image
Habari njema kwa sasa Sokabet tumekuletea promosheni ya JIBUSTI NA SOKABETI ambapo wewe mdau wa michezo ya kubashiri unaweza kuondoka na bodaboda mpya kabisa pamoja na pesa taslimu bila kutumia nguvu.  Ili ushinde bodaboda unatakiwa ufuate kanuni rahisi zifuatazo:- 1. Kwanza unapaswa ujisajili na Sokabeti kupitia tovuti yetu BOFYA HAPA   lakini kama una simu ndogo au hauna bando basi ni rahisi tu bonyeza *149*35# 2. Baada ya kujisajili unatakiwa utumie kiasi cha shilingi elfu tano 5000 au zaidi ndani ya wiki moja. Droo inachezeshwa kila ifikapo jumatatu mchana. Ukiachana na bodaboda, unaweza kujishindia hadi TZS 1,000,000 kwenye #SportsTournament  Kila mkeka wako unapotiki, unajishindia pointi zinazokuweka kwenye orodha ya washindi 20 watakaogawana kitita cha shilingi 3,333,333 kila wiki. Hii ndio Sokabet, unashinda zaidi na zaidi.  Jisajili sasa kupitia link hapo juu na kama utakutana na changamoto yoyote basi usisite kupiga simu namba 0746983630 muda wowote....

JINSI YA KUSHINDA BETI

Image
  DONDOO ZA NAMNA YA KUSHINDA BETI YAKO Yawezekana umekuwa ukijiuliza sana ni jinsi gani unaweza kushinda mamilioni ya shilingi kutonana na kubeti. Sasa leo nitakupa dondoo kadhaa za namna unavyoweza kujishindia mamilioni ya pesa kupitia Sokabet. Kwanza tufahamu kuwa kubeti ni mchezo wa bahati nasibu ikimaanisha kuwa haupaswi kuwa na uhakika wa kushinda kwa asilimia zote; ingawa kuna watu wanapiga pesa 1. Kabla ya Kuweka Mikeka Yako Fanya Utafiti Kamwe usibeti kama haujui mchezo wenyewe unakwendaje. Kama ni mpira wa miguu basi fanya utafiti mdogo kuhusu timu zinazokutana. Angalia madhaifu yao na uimara wao. Ukishajua machache kuhusu timu hizo basi inakuwa rahisi kwako kufanya maamuzi ya kuweka beti kwenye timu A badala ya B. Wengi wanakosea sana wanapoweka ushabiki kwenye kubeti. Kuna matarajio huwa wanayaweka kuhusu timu zako kiasi kwamba ikiteleza kidogo basi pesa yao imekwenda. Hata uwe unaipenda timu yako kiasi gani angalia kwa umakini uwezo wake dhidi ya timu pinzani n...

APP NZURI YA KUBETI NI SOKABET

Image
Kama unajiuliza ni app gani bora kwa mwaka huu ya kubetia soka basi jibu ni Sokabet pekee. Najiamini kusema Sokabet ndiyo kampuni bora namba moja ya michezo ya kubashiri mtandaoni hapa Tanzania kutokana na namna inavyojiendesha kitaalamu na weledi. Unapotafuta sehemu ya kuaminika inayoaminika kwa ajili ya kubeti soka mtandoni unapaswa kuwa makini ili usije ukakosea na mwisho wa siku unaishia kujilaumu. Hapa utakutana na mechi kali kila wiki. 1. App ya Android inapatikana kwa urahisi Jinsi ya kupakua (download) App ya Sokabet APK kupitia tovuti ya Sokabeti ni rahisi kabisa. a.                a.    Nenda moja kwa moja kwenye tovuti na jisajili kwa KUBOFYA HAPA       b.        Juu kabisa kushoto utakutana na kitufe kimeandikwa “App” ukikibonyeza basi utafuata maelekezo na moja kwa moja utaipakua. c.        Ukishabonyeza kitufe hicho, “App” itaanza kujipakua...

JINSI YA KUPATA PESA MTANDAONI NA SOKABET; ZEPPELIN KASINO YA MTANDAONI

Image
PIGA PESA MTANDAONI NA SOKABET Yaliyomo 1.UNACHEZAJE ZEPPELIN? 2. JAKPOTI ZA ZEPPELIN 3. DROP ZA ZEPPELIN 4. CASHBACK ZA ZEPPELIN Unaweza ukawa unajiuliza kuwa ni sehemu gani ambapo utaweza kujipatia fedha kupitia simu yako ya mkononi; jibu ni moja tu SOKABET ina mchezo uitwao ZEPPELIN wenye kukupa nafasi ya kuuaga umaskini.  Kwenye tovuti/APP ya SOKABET juu kulia utaona alama ya ndege imeandikwa ZEPPELIN; Ukiibonyeza unaingia kwenye mchezo huu pendwa. Ili twende sawa, jisajili kwa KUBOFYA HAPA     1.        UNACHEZAJE ZEPPELIN? Zeppelin ni mchezo unaohusisha uzidishaji wa thamani ya dau lako uliloweka hapo awali. Kunakuwa na ndege inayopaa. HATUA YA KWANZA ni kuweka dau lako. Kama picha hapa chini inayoonyesha, kushoto chini kumeandikwa BET. Wewe andika kiasi chako unachotaka kuweka. Kumbuka mchezo huu wa SOKABET ZEPPELIN unatumia dola sio shilingi kwahiyo piga hesabu; kiwango cha chini ni shilingi 230 ambayo dola 0.1; wek...
💰 Weka mechi zaidi ya moja kwenye mkeka wako upate ushindi mkubwa zaidi na Bonasi yetu ya Multi-Bet ya hadi 700% ➡️ Hakuna Kima cha chini cha Dau ➡️ Kima cha chini cha Odds kwa kila mechi ni 1.20 tu! 📲 Tembelea https://t.co/FlHMjVjKNY ubusti ushindi wako sasa! pic.twitter.com/pfnHR8QJpE — Sokabet Africa (@sokabetafrica) January 25, 2022

SOKABET NI KAMPUNI BORA YA KUBETI

Image
  Kuna fursa nyingi za kupata pesa mtandaoni   na yawezekana linapofika suala la kubashiri soka huwa unajiuliza   “Ni kampuni gani bora ya kubetia soka mwaka huu?”. Usijali, leo nitakuchambulia ubora wa tovuti au app ya kubetia ya sokabet Tanzania. Hizi ni baadhi ya sifa na huduma utakazokutana nazo ukijisajili Sokabet. 1.        Unaweza kubeti bure ukishajisajili tu. Maana utapewa bonasi ya sh. 1000 ya bure kabisa. 2.        Ukiweka pesa kwa mara ya kwanza unapewa bonasi ya asilimia 100; yaani kama ukiweka 10,000 basi utaongezewa 10,000 nyingine endapo ukapiga simu na kuomba bonasi hiyo.   3.        Pia unaweza kubeti bila bando *149*35# kwa wateja wa Airtel, Tigo, Halotel na Vodacom. 4.        Pia Sokabet ni kampuni inayorudisha hela yako (cashback) mkeka wako ukichanika pia ukiweka beti tatu unapewa moja ya bure. 5.    ...

BETI BILA BANDO NA SOKABET

Image
  Unapojiuliza kuwa ni wapi utabeti bila bado basi jibu lake ni SOKABET. Sasa unaweza kubeti bila bando kwa wateja wa Vodacom, Tigo, Halotel na Airtel. Kwa unaweza kubonyeza *149*35# na kuamua ushindi wako. Utumie simu janja au kiswaswadu, ni wewe tu. Utaweza kubashiri michezo zaidi ya 20, kuweka na kutoa pesa, kuangalia historia ya mikeka yako, na hata kupata taarifa za akaunti yako kwa uharaka kabisa. Haya ni baadhi ya maswali ambayo unaweza ukawa unajiuliza kuhusu huduma hii. 1.        Je ni lazima nifungue akaunti mpya au ileile niliyonayo? Kama laini ya simu uliyosajilia Sokabet hapo awali ndio ipo kwenye simu muda huo unataka kubashiri, basi baada ya kubonyeza *149*35# utapaswa kuchagua lugha na moja kwa moja utaelekezwa kwenye menyu kuu. Tofauti na hapo utakua kama mteja mpya, na baada ya kubonyeza *149*35# utachagua lugha na kisha utatakiwa uingize namba ya simu ujisajili. 2.        Ninawezaje kuweka pesa ...