Posts

Showing posts with the label okoa mkeka

OKOA MKEKA WAKO NA SOKABET CASHOUT

Image
USISUBIRI MPAKA MKEKA WAKO UCHANIKE; CASHOUT NA SOKABET Ni ukweli kwamba huwa inauma sana pale mechi moja tu kati ya tano ulizozibetia inatoa matokeo tofauti na uliyobashiri. Unaweza ukalia. Sasa kampuni ya kubeti hapa Tanzania, SOKABET inakupa huduma ya kutoa pesa yako kabla mkeka mzima haujaungua. Usisubiri  MKEKA WAKO  uchanike,  OKOA MKEKA WAKO  na huduma ya CASHOUT ukiwa SOKABET. Ili ufanye CASHOUT na SOKABET unachotakiwa kufanya ni:- -Nenda kwenye kipengele cha MY BETS - Chagua na fungua mkeka unaotaka kufanya CASHOUT ( ulio hai bado) -Pembeni ya beti yako kuna neno OUT -Bonyeza na kubali kiasi utakachopokea Lakini pia endapo mkeka ukachanika kabisa basi kuna CASHBACK BONUS kila siku (unarudishiwa dau lako) kwa kupiga simu 0746983630 Tembelea kubeti sasa   BOFYA HAPA      SOKABET AMUA USHINDI WAKO

JINSI YA KUSHINDA BETI

Image
  DONDOO ZA NAMNA YA KUSHINDA BETI YAKO Yawezekana umekuwa ukijiuliza sana ni jinsi gani unaweza kushinda mamilioni ya shilingi kutonana na kubeti. Sasa leo nitakupa dondoo kadhaa za namna unavyoweza kujishindia mamilioni ya pesa kupitia Sokabet. Kwanza tufahamu kuwa kubeti ni mchezo wa bahati nasibu ikimaanisha kuwa haupaswi kuwa na uhakika wa kushinda kwa asilimia zote; ingawa kuna watu wanapiga pesa 1. Kabla ya Kuweka Mikeka Yako Fanya Utafiti Kamwe usibeti kama haujui mchezo wenyewe unakwendaje. Kama ni mpira wa miguu basi fanya utafiti mdogo kuhusu timu zinazokutana. Angalia madhaifu yao na uimara wao. Ukishajua machache kuhusu timu hizo basi inakuwa rahisi kwako kufanya maamuzi ya kuweka beti kwenye timu A badala ya B. Wengi wanakosea sana wanapoweka ushabiki kwenye kubeti. Kuna matarajio huwa wanayaweka kuhusu timu zako kiasi kwamba ikiteleza kidogo basi pesa yao imekwenda. Hata uwe unaipenda timu yako kiasi gani angalia kwa umakini uwezo wake dhidi ya timu pinzani n...

SOKABET NI KAMPUNI BORA YA KUBETI

Image
  Kuna fursa nyingi za kupata pesa mtandaoni   na yawezekana linapofika suala la kubashiri soka huwa unajiuliza   “Ni kampuni gani bora ya kubetia soka mwaka huu?”. Usijali, leo nitakuchambulia ubora wa tovuti au app ya kubetia ya sokabet Tanzania. Hizi ni baadhi ya sifa na huduma utakazokutana nazo ukijisajili Sokabet. 1.        Unaweza kubeti bure ukishajisajili tu. Maana utapewa bonasi ya sh. 1000 ya bure kabisa. 2.        Ukiweka pesa kwa mara ya kwanza unapewa bonasi ya asilimia 100; yaani kama ukiweka 10,000 basi utaongezewa 10,000 nyingine endapo ukapiga simu na kuomba bonasi hiyo.   3.        Pia unaweza kubeti bila bando *149*35# kwa wateja wa Airtel, Tigo, Halotel na Vodacom. 4.        Pia Sokabet ni kampuni inayorudisha hela yako (cashback) mkeka wako ukichanika pia ukiweka beti tatu unapewa moja ya bure. 5.    ...

BETI BILA BANDO NA SOKABET

Image
  Unapojiuliza kuwa ni wapi utabeti bila bado basi jibu lake ni SOKABET. Sasa unaweza kubeti bila bando kwa wateja wa Vodacom, Tigo, Halotel na Airtel. Kwa unaweza kubonyeza *149*35# na kuamua ushindi wako. Utumie simu janja au kiswaswadu, ni wewe tu. Utaweza kubashiri michezo zaidi ya 20, kuweka na kutoa pesa, kuangalia historia ya mikeka yako, na hata kupata taarifa za akaunti yako kwa uharaka kabisa. Haya ni baadhi ya maswali ambayo unaweza ukawa unajiuliza kuhusu huduma hii. 1.        Je ni lazima nifungue akaunti mpya au ileile niliyonayo? Kama laini ya simu uliyosajilia Sokabet hapo awali ndio ipo kwenye simu muda huo unataka kubashiri, basi baada ya kubonyeza *149*35# utapaswa kuchagua lugha na moja kwa moja utaelekezwa kwenye menyu kuu. Tofauti na hapo utakua kama mteja mpya, na baada ya kubonyeza *149*35# utachagua lugha na kisha utatakiwa uingize namba ya simu ujisajili. 2.        Ninawezaje kuweka pesa ...