BETI BILA BANDO NA SOKABET

 

Unapojiuliza kuwa ni wapi utabeti bila bado basi jibu lake ni SOKABET. Sasa unaweza kubeti bila bando kwa wateja wa Vodacom, Tigo, Halotel na Airtel. Kwa unaweza kubonyeza *149*35# na kuamua ushindi wako. Utumie simu janja au kiswaswadu, ni wewe tu. Utaweza kubashiri michezo zaidi ya 20, kuweka na kutoa pesa, kuangalia historia ya mikeka yako, na hata kupata taarifa za akaunti yako kwa uharaka kabisa.

Haya ni baadhi ya maswali ambayo unaweza ukawa unajiuliza kuhusu huduma hii.

1.       Je ni lazima nifungue akaunti mpya au ileile niliyonayo?

Kama laini ya simu uliyosajilia Sokabet hapo awali ndio ipo kwenye simu muda huo unataka kubashiri, basi baada ya kubonyeza *149*35# utapaswa kuchagua lugha na moja kwa moja utaelekezwa kwenye menyu kuu. Tofauti na hapo utakua kama mteja mpya, na baada ya kubonyeza *149*35# utachagua lugha na kisha utatakiwa uingize namba ya simu ujisajili.

2.       Ninawezaje kuweka pesa katika akaunti ya Sokabet ili nibashiri bila bando?

Kuweka pesa ni rahisi sana, unachotakiwa kufanya ni kuingia kwenye menyu ya malipo kulingana na mtandao unaotumia kisha chagua lipa bili na weka 335757 kama namba ya kampuni. Kisha unatakiwa uweke namba yako ya simu kama namba ya kumbukumbu. Utamaliza utaratibu wa malipo kwa kuingiza namba ya siri. Endapo mtu akitaka kukuwekea pesa basi cha muhimu ni kwamba kwenye namba ya kumbukumbu anapaswa aweke namba yako ya simu.

Kwa sasa wateja wetu wana uwanja mpana sana wa machaguo wanapotumia huduma za Sokabet. Chagua kubonyeza *149*35# bila bando au uendelee kutumia tovuti au application. Lengo letu ni kumfikia kila mmoja, na afurahie uzuri wa kucheza kistaarabu. 


Comments

Popular posts from this blog

JACKPOT BOMBA YA SOKABET | SHINDA MAMILIONI

CHEZA SLOT BURE NA SOKABET

SHINDA JAKPOTI KIULAINI KABISA