MSHINDI WA BONASI YA JAKPOTI
Hongera nyingi zimuendee ndugu JULIUS MSUYA kutoka Yombo, Dar es salaam kwa kujishindia BONUS ya SOKA 6 JACKPOT kiasi cha 2,525,400 baada ya kubashiri kwa uisahihi matokeo ya mechi 4 kati ya 6.
Jakpoti ya milioni 50 ijulikanayo kama SOKA 6
huwa na mechi sita tu na unapaswa ubashiri matokeo sahihi (mfano timu A
itafunga goli 3 na timu B itafunga goli 4). Vivyo hivyo kwa jackpot ya
milioni 50, ukibashiri sahihi mechi 4 unapata milioni bonasi ya asilimia 10 na ukipatia mechi 5
basi unaondoka na bonasi ya asilimia 20 bila longolongo.
Wahi sasa ujisajili SOKABET na kutumia app ya kubetia ya sokabet basi ni mwendo wa kuvuna pesa mwanzo mwisho. Cheza jakpoti ya Sokabet sasa. Ingia www.sokabet.co.tz au BOFYA HAPA ili uweze kucheza sasa na ujiamulie ushindi wako
Comments
Post a Comment